Ajiajiri: Kutengeneza Mifuko ya Karatasi
Kijana Andrew Mupuya kutoka nchini Uganda amejiajiri kwa kutengeneza mifuko ya karatasi kazi ambayo imempatia mafanikio makubwa kama anavyoeleza mwenyewe kupitia video hii.
Source: DW
Msomi Ajiajiri: Kuokota Makopo
Huyu ni mmoja kati ya vijana walioamua kujiajiri kwa kufanya kazi ya kuokota makopo na kwenda kuyauza. Anaitwa Calvin ana miaka 29, anakwambia amemaliza shahada ya biashara lakini amekaa nyumbani bila ajira kwa miaka mitatu na hana mtaji ndipo akaamua kufanya hii kazi mwaka huu. Kama umefurahishwa na uamuzi wake wa kujishusha bila kli elimu yake, tupia neno lolote la kumpa hongera
Source: East Africa Television (EATV)
No comments:
Post a Comment